Monday, 5 September 2016

KCMUCo

kcmuco
Moja ya vyuo bora vya afya Tanzania ,
Ni chuo kinachoendeshwa na kanisa la kilutheri Tanzania ,
hutoa kozi mbalimbali za afya kama vile ;
*Degree ya udaktari(Doctor of Medicine)
* Degree ya maabara( Health laboratory science)
* Occupational Therapy degree
*Physiotherapy degree
* Bachelor of Nursing
pia programu za diploma zapatikana chuoni hapo

 wanafunzi wakifanya mitihani kupitia mtandao wa LCMS+
 computer laboratory za kisasa kabisa


wanafunzi wakielekezwa vitu na wataalamu wa IT.

  by ..emmadeclassic

No comments:

Post a Comment